News
𝐓𝐀𝐍𝐀𝐏𝐀 𝐂𝐞𝐥𝐞𝐛𝐫𝐚𝐭𝐞𝐬 𝐅𝐢𝐯𝐞 𝐂𝐨𝐧𝐬𝐞𝐜𝐮𝐭𝐢𝐯𝐞 𝐖𝐢𝐧𝐬 𝐨𝐟 𝐐𝐮𝐚𝐥𝐢𝐭𝐲 𝐂𝐡𝐨𝐢𝐜𝐞 𝐏𝐫𝐢𝐳𝐞 𝐟𝐨𝐫 𝐄𝐱𝐜𝐞𝐥𝐥𝐞𝐧𝐜𝐞 𝐢𝐧 𝐒𝐞𝐫𝐯𝐢𝐜𝐞 𝐃𝐞𝐥𝐢𝐯𝐞𝐫𝐲
Tanzania National Parks (TANAPA) has been honored with the prestigious Quality Choice Prize 2024 in recognition of its exceptional commitment to delivering world-class services within and beyond the organization. The award ceremony, organized by the European Society for Quality Research (ESQR), took place on December 9, 2024, at Parkhotel Schönbrunn in Vienna, Austria. The award was received by the Deputy Minister of Natural Resources and Tourism for Tanzania, Hon. Dustan Kitandula, who was accompanied by Ambassador of United Repblic of Tanzania in Vienna Austria, Hon. Naimi Aziz, TANAPA’s Conservation Commissioner Musa Juma, Western Zonal Senior Conservation Commissioner Izumbe Msindai, Conservation Commissioner’s Personal Assistant Andrew Mbai, and Conservation Officer from the Business Development Section, Daniel Mweta. Read More
Posted On: Dec 10, 2024
ZAIDI YA WATANZANIA 230 KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU KATIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeongoza Watanzania na wapandaji wengine zaidi ya 230 kutoka mataifa ya China, Marekani na Ufaransa leo Desemba 05, 2024 kupanda Mlima Kilimanjaro kupitia Lango la Marangu lililopo mkoani Kilimanjaro. Watu hao wamepanda mlima huo kwa lengo la kwenda kupandisha Bendera ya Tanzania ikiwa ni ishara ya kumbukumbu ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika. Read More
Posted On: Dec 06, 2024
MIAKA 50 YA HIFADHI YA TAIFA KATAVI YAENDA SANJARI NA UZINDUZI WA UJENZI WA NYUMBA 12 ZA MAAFISA NA ASKARI WA UHIFADHI - KATAVI.
Furaha imetamalaki katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Hifadhi ya Taifa Katavi leo tarehe 29 Oktoba, 2024 wakati wa sherehe hizo baada ya mradi wa kuhifadhi ikolojia ya Hifadhi za Taifa Katavi, Milima Mahale na Ushoroba unaounganisha hifadhi hizi almaarufu KAMACO kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba 12 za watumishi zinazotarajiwa kukamilika ndani ya miezi sita huku zikigharimu kiasi cha shilingi bilioni 1.6 Read More
Posted On: Oct 30, 2024
SERENGETI, MOUNT KILIMANJARO NATIONAL PARKS SCOOP PRESTIGIOUS PRIZES AT THE 31ST ANNUAL WORLD TRAVEL AWARDS
Serengeti has been crowned as Africa’s Leading National Park 2024, while the majestic Mount Kilimanjaro has been recognized as Africa’s Leading Tourist Attraction 2024. Tanzania National Parks (TANAPA) manages both National Parks. Read More
Posted On: Oct 21, 2024
ZAIDI YA BILIONI 45 ZALIPA FIDIA KWA WANANCHI WANAOPISHA UHIFADHI SERENGETI
Wananchi wa Kata ya Nyatwali iliyopo Wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara watapisha eneo ambalo ni ushoroba (mapitio) ya wanyama pori wanaopita kwenda kunywa maji Ziwa Victoria wakitokea Hifadhi ya Taifa Serengeti. Eneo hilo ni muhimu kwa ikolojia ya Hifadhi pamoja na shughuli za Uhifadhi na Utalii. Read More
Posted On: Oct 16, 2024
WAZIRI KIKWETE : MWENGE WA UHURU NI TUNU NA ISHARA YA UTAIFA WETU.
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete, jana Oktoba 15, 2024 amepokea Mwenge wa Uhuru na kuukabidhi kwa Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kwa ajili ya kuupandisha katika kilele cha mlima Kilimanjaro, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwa mbio za Mwenge huo na kusisitiza kuwa Mwenge wa uhuru ni tunu na ishara ya utaifa wa Taifa letu. Read More
Posted On: Oct 16, 2024