GAME DRIVE IN SERENGETI
Lioness with cubs crossing the road.
Lioness with cubs crossing the road.
Wananchi wa Kata ya Nyatwali iliyopo Wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara watapisha eneo ambalo ni ushoroba (mapitio) ya wanyama pori wanaopita kwenda kunywa maji Ziwa Victoria wakitokea Hifadhi ya Taifa Serengeti. Eneo hilo ni muhimu kwa ikolojia ya Hifadhi pamoja na shughuli za Uhifadhi na Utalii. ... Read More
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete, jana Oktoba 15, 2024 amepokea Mwenge wa Uhuru na kuukabidhi kwa Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kwa ajili ya kuupandisha katika kilele cha mlima Kilimanjaro, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwa mbio za Mwenge huo na kusisitiza kuwa Mwenge wa uhuru ni tunu na ishara ya utaifa wa Taifa letu. ... Read More
Tanzania National Parks (TANAPA) wishes to inform its clients and tourism stakeholders
that, effective July 1st, 2024, all transact...
Read More
In collaboration with Tanzania Aviation Operators Association,We are pleased to announce the aerodromes survey
Follow the link to...
Read More
Serengeti Visitors' Information Center Refurbishment Project
Kindly refer to the below public memo for more information
Read More
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linatoa taarifa kwa wadau wa utalii na
umma kwa ujumla kwamba linafunga kipande cha n...
Read More