Announcements
-
04th Feb 2025TEMPORARY CLOSURE OF SERONERA AIRSTRIP - HTSN
-
08th Jan 2025TAARIFA KWA UMMA
-
01th Jul 2024PUBLIC NOTICE
-
01th Mar 2024TAARIFA KWA UMMA
Publications
Celebrity News Magazine
Posted on: 15-Oct-2024
TANAPA Northern Zone Quick References
Posted on: 17-Sep-2024
Mara River Migration Crossing Guideline
Posted on: 26-Aug-2024
TANAPA INVESTMENT PROSPECTUS 2024
Posted on: 14-Aug-2024
Nyerere National Park Brochure- English
Posted on: 06-Jun-2024
News
TAARIFA KWA UMMA
Posted On: Jan 08, 2025
Shirika la hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linautaarifu Umma kuwa barabara kutoka Bagamoyo kupitia eneo la Makurunge hadi lango la Gama katika Hifadhi ya Taifa Saadani (yenye urefu wa kilometa 35), kwa sasa inapitika vizuri hadi hifadhini.
Awali, barabara hiyo ilikuwa haipitiki kutokana na baadhi ya maeneo ya barabara hiyo kuharibiwa na mvua zilizonyesha na kuleta changamoto kwa watumiaji wa barabara hiyo.